Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dully aibua mapya!! Uhuru wa Tanzania

Friday , 18th Aug , 2017

Mwanamuziki mkongwe wa bongo fleva 'Prince Dully Sykes' Mr. Misifa' amefunguka leo mapya na kudai familia yake ilihusika katika kuleta uhuru wa nchi hii ingawa serikali imekuwa haiwakumbuki watu hao.

Akiwa kwenye Heshima ya Bongo Fleva ndani ya Planet Bongo ya EATV Dully amesema historia ya uhuru watu wengi wamekuwa hawaifahamu kwa kuwa serikali imekuwa haina tabia ya kuwakumbuka watu waliopambana kuleta uhuru.

"Babu yangu mimi alishiriki kikamilifu katika kuhakikisha nchi inapata uhuru. Lakini ndiyo hivyo serikali yetu huwa haiwakumbukagi hao watu. Mfano mimi babu yangu amefanya mengi hadi uhuru ukapatika, ni kati ya wale watu waliojichanga na kumpatia Mwalimu  Nyerere pesa aende kwa Waingereza kuomba uhuru. Siongei kama kutaka sifa, labda babu yangu watu hawamjui lakini hata historia ya mtu  aliyetunga wimbo wataifa naye hatumjui. Mimi babu alikataa kuwa Mwenyekiti wa TANU akamuachia Nyerere ambaye alikuwa rafiki yake sana," Dully alifunguka.

Hata hivyo Dully ameeleza sababu ya familia yake kushindwa kujitangaza mbele za watu kama ni watu waliopigania uhuru

"Familia yangu mimi siyo watu wa kuzungumza au kutaka kujionyesha sana, Mfano kama mimi watu wengi wanashindwa kunipa sifa zangu kwamba ndiye mwanzilishi wa bongo fleva zaidi ya nyinyi wachache ndiyo mmekuwa mkiisema hiyo itakuja kuwa babu yangu ambaye hajulikani? Ila ni vyema historia hizi watanzania wakapatiwa na kuijua historia ya nchi yao"

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala