Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

EATV Awards zimeniweka pazuri - Khadija Ally

Tuesday , 13th Dec , 2016

Msanii wa filamu nchini Tanzania ambaye alikuwa kwenye kinyang'anyiro cha muigizaji bora wa kike katika tuzo za muziki na filamu za EATV, Khadija Ally ameibuka na kutoa shukrani zake kwa EATV, wadhamini wa tuzo hizo pamoja na watu waliompigia kura.

Khadija Ally

Khadija ambaye aliingia kwenye tuzo hizo kupitia movie yake ya 3Days, ametoa shukrani kupitia ujumbe mfupi alioutuma kwa wadau wote, na kusema kuwa tuzo hizo zimemuweka mahala pazuri katika tasnia ya filamu nchini licha ya kutoshinda katika kipengele hicho.

Pia Khadija hakusita kuwapongeza wasanii wenzake aliokuwa nao katika kipengele hicho hasa mshindi ambaye ni Chuchu Hansy, huku akisema kuwa wasanii wote walikuwa bora, lakini ni lazima mshindi awe mmoja, hivyo inategemeana na bahati ya mtu, na kwamba anakubaliana na maamuzi yaliyotokea.

Khadija amesema "Kwanza kabisa nashukuru Eatv, East Africa Radio, Vodacom, Cocacola na Barclays bank kwa kuandaa Eatv Awards mie nasema asanteni na asiyekubali kushindwa si mshindani pia nawapongeza wote waliopata tunzo, na ninaamini wote tulikua bora ila kupata tunzo ni bahati tu". 

Baadhi ya washiriki wakifuatilia tukio la utoaji tuzo katika ukumbi wa Mlimani City Dar es Salaam

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi