Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jay Z azamia katika bangi

Wednesday , 10th Jul , 2019

Mwana HipHop bilionea zaidi duniani Jay Z, sasa ameingia rasmi ubia na kampuni ya utengenezaji na uzalishaji wa biashara ya bangi iitwayo Caliva.

Msanii Jay Z

Jay Z amepewa nafasi ya mkurugenzi mkuu katika mipango mikakati ya kuiendeleza kampuni hiyo , na ameingia ubia huo wa kufanya nao kazi kwa mwaka mzima.

Katika nafasi hiyo Jay Z atakuwa anasaidia masuala ya ubunifu, maamuzi , juhudi za ufikiaji malengo na mikakati. Pia atakuwa ana dili na haki za kijamii kwenye mambo ya kuhahalilsha bangi, ikiwa pamoja na utetezi, mafunzo ya kazi, kuajiri wafanya kazi, na kufanya kazi kwa maendeleo.

"Nafanya kitu chochote, nataka nifanye kazi kwa usahihi katika ngazi za juu, uwezo wangu wote katika sekta hii ya biashara ya bangi, jitihada bora za kitaalamu katika ushiriki huu, tunataka kubuni kitu cha kushangaza, na kufanya vizuri ili kuleta watu katika njia" amesema Jay Z.

Jay Z sio mwana Hiphop wa kwanza kuingia kufanya biashara hii ya bangi wengineo ni Uncle Snoop Dogg, Wiz Khalifa, 2 Chainz Ty Dolla Sign na Ray J wote hawa na wana kampuni zao za utengenezaji na uzalishaji wa biashara ya bangi. 
 

HABARI ZAIDI

Bw. Nazar Nicholas (katikati) akikabiziwa tuzo ya WSIS 2024

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton