Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kikapu ni ajira tosha- Rama Dee

Monday , 28th Aug , 2017

Msanii wa bongo fleva na mkali wa R&B, Rama Dee amefunguka kwa kuwataka vijana kuchangamkia fursa ya ajira inayotokana na mchezo wa mpira wa kikapu ili waweze kuondokana na janga la utegemezi katika familia pamoja na kujiinua kiuchumi.

Msanii wa bongo fleva na mkali wa R&B, Rama Dee.

Rama Dee amebainisha hayo muda mchache alipowasili katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay JIjini Dar es Salaam, ilipokuwa ikifanyikia fainali za Sprite BBall Kings 'game 4' baina ya TMT dhidi ya Mchenga BBall Stars na kuwaomba wazee wawe tayari katika kuekeza katika michezo hasa mpira wa kikapu ili uweze kusonga mbele zaidi kama walivyoamua kufanya uongozi wa EATV pamoja na Sprite.

"Binafsi nawashukuru EATV LTD kwa kushirikiana na Sprite kuweza kuupa kipaumbele mchezo wa basketball kwa kuwa ulikuwa unapotea kabisa. Vijana sasa wanapaswa waamke na kuchangamkia fursa iliyopo katika mpira wa kikapu kwa kuwa inatoa ajira",alisema Rama Dee. 

Mtazame hapa chini anavyofunguka mengine zaidi.

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma