Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kwa umri wangu kusema 'niko single' ni uongo

Sunday , 16th Dec , 2018

Msanii wa kike katika kiwanda cha Bongo Fleva, Mwasiti amesema kuwa kwa sasa hawezi tena kudanganya katika 'interview' kuwa yuko single kama zamani kwasbabu ya umri wake.

Mwasiti na Roma

Akizungumza kwenye Friday Night Live (FNL) ya EATV, Mwasiti amesema kuwa wanamuziki wengi wa kike hasa miaka ya nyuma walikuwa wanaogopa kusema ukweli kuwa wana mahusiano kwa kuhofia kuwa wataonekana tofauti na wengine wakihofia kutopata ushirikiano mkubwa kutoka kwa wanaume, lakini kwa sasa ni tofauti na sio jambo la ajabu kwa mwanamuziki wa kike kumtaja mpenzi wake.

"Niko kwenye mahusiano, niko kwenye mahusiano mazuri tu na nina furaha, kwa umri niliofikia kila siku kwenda kwenye 'Interview' na kusema niko single ni uongo, ina maana hata hufuatwi na wanaume?," amesema Mwasiti.

Pia amezungumzia kazi yake mpya aliyomshirikisha Roma inayojulikana kama 'Fall in love' kuwa imekwenda vizuri kutokana na Roma kutaka uhalisia zaidi katika video, ndiyo maana katika 'scene' nyingi wameonekana kama ni wapenzi.

"Sehemu nyingi mnazoziona sio kama tulikuwa tunaigiza, tukicheka tunacheka kweli, ilikuwa nzuri kwasababu Roma alikuwa anataka uhalisia kwenye video. Alikuwa anataka watu waache zile kwamba wewe mume wa mtu unafanya Bongo Fleva basi huwezi kufanya kazi na mwanamuziki wa kike na mkafanya vitu ambavyo wanafanya wapenzi," ameongeza.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala