Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Madam Flora atangaza kuachana na albam

Thursday , 19th Jan , 2017

Msanii wa nyimbo za Injili Madam Flora (Zamani: Flora Mbasha) amesema mwaka huu utakuwa ni wa mwisho kwake kutoa albam na kwamba atakuwa anaachia single nyingi ili aweze kuwapatia mashabiki zake nyimbo  nyingi mara kwa mara.

Madam Flora

Utaratibu wa albam umepotea kwa muda mrefu katika tasnia ya burudani nchini (Tofauti na muziki wa injili) kwa madai kuwa hazina soko, licha ya baadhi ya wasanii hivi sasa likiwemo kundi la Navy Kenzo na Ditto kutangaza kuanza kuurejesha taratibu kwa kutoa albam zao mwaka huu.

Akiongea kupitia eNewz Flora amesema kuwa  hiyo ndiyo 'plan' yake kwa miaka ijayo huku akitaka mashabiki wanamuona kuwa amekuwa kimya kwa muda mrefu kutambua kuwa muziki wa Injili upo tofauti na muziki wa bongo fleva ndiyo maana inakuwa rahisi kwa wasanii wa bongo fleva kuachia nyimbo mara kwa mara.

Amesema nyimbo za Injili zinahitaji kuwa na muda wakutosha na kumuomba Mungu ili akupatie mashairi mazuri yenye ujumbe ukisema ukurupuke na kuachia nyimbo kila siku utajikuta unatoa albamu nyingi lakini hit song ni moja na nyimbo nyingine zinasindikiza.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala