msanii wa muziki wa bongofleva Aslay
Aslay ameiambia eNewz kuwa, albam hii ambayo tarehe ya kutoka kwake itatangazwa rasmi na Menejimenti, Mkubwa na Wanawe vilevile kukiwa na kazi ambazo wamefanya na vichwa vikali kutoka hapa hapa Bongo.
Aslay pia akawatonya mashabiki wale wanaosikilizia kazi zao wakiwa solo kuwa kwa sasa nguvu zao nyingi wamewekeza katika kuisimamisha Bendi Vizuri kabla ya kuachia kazi binafsi.
