
Mfungaji bora kwa misimu miwili mfululizo katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Meddie Kagere akionyesha ishara ya kukubaliana na jambo katika mchezo wa VPL.

Mchekeshaji, Muigizaji na mwanamuziki Idris Sultan

Msanii wa HipHop Chemical
Mtangazji wa East Africa Radio na East Africa Tv Mwanne Othman

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii jinsia wazee na watoto Ummy Mwalimu

Lionel Messi anatajwa kutokuwa na furaha ndani ya kikosi cha FC Barcelona kutokana na mwenendo mbaya wa matokeo ya kikosi hicho

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominick akipokea fomu za mmoja wa wagombea Ubunge katika jimbo hilo

Staa wa Milwaukee Bucks, Giannis Atetokounmpo akionyesha ubora wake katika moja ya mchezo wa NBA.