
Msanii wa Bongo fleva Kayumba Juma
Akizungumza na Enewz Kayumba alisema kuwa tukio hilo ndiyo chanzo pekee kilichomfanya ajitume zaidi ili aweze kufanikiwa.
“Kile kitu kiliniuma sana na siwezi kusahau katika maisha yangu kwasababu tulifukuzwa kama mbwa na tulikuwa hatujui tutaenda kufikia wapi”, alisema Kayumba.