Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Nilikuwa na Zilla kulipiza kisasi". - Isabella

Thursday , 14th Feb , 2019

Mwanamuziki wa Bongo Fleva Isabella ambaye leo amelazwa hospitali kutokana na msongo wa mawazo alioupata kutokana na kifo cha Godzilla, ameweka wazi kuwa kwenye mahusiano na Godzilla, amesema kwamba aliamua kuwa naye kwa sababu ya kulipiza kisasi baada ya kuachwa na mpenzi wake.

Akizungumzia hilo Bella amesema kwamba awali yeye alikuwa mchumba wa mtu na amezaa na huyo mwanaume, lakini  walipoachana akaamua kurudi kwa Godzilla, ili kulipiza maumivu ya kuachana na mzazi mzazi mwenzake.

Unajua mimi nilikuwa mchumba wa mtu, nikagombana na baba mtoto wangu, kwa hiyo na mimi revenge yangu nikarudisha mahusiano yangu na Zilla, ingawa tulikuwa wapenzi kabla tuliachana, baada ya kugombana na baba mtoto wangu nikaamua kurudiana naye na kwa vile tulikuwa tunaishi karibu huku Salasala. Jana nafsi yangu ikaona tu niseme ukweli, na sasa najisikia na amani”, amesema Isabella.

Kutokana na hilo Issabela amewataka watu wanaosema kuwa anatafuta kiki kuacha, kwani anachokiongea sio kiki bali ni ukweli ambao ameshindwa kuvumilia kuuficha, ingawa hawakuwa na plan zozote kwenye mahusiano hayo.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari