Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ommy Dimpoz awapigia magoti mahasimu wake

Saturday , 30th Mar , 2019

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Ommy Dimpoz amewataka watu wote ambao amewakosea kumsamehe, kwani anataka kuwa na amani kati yao.

Ommy Dimpoz amesema hayo alipokuwa akitambulisha video ya wimbo wake mpya wa 'You are the best' kwenye FNL ya East Africa Television, na kusema kwamba hata kama kuna mtu anahisi amemkosea na hajui, anamuomba radhi ili waweze kuyafurahia maisha, kwani maisha ni mafupi sana.

Alichokiongea Ommy Dimpoz kuhusu msahama

 

“Mimi kila siku niko peace na kila mtu, lakini huwezi ukalazimisha uongee na mtu fulani, mimi sina tatizo, kwa yeyote anayehisi Ommy nina tatizo naye, mimi sina tatizo, maisha yenyewe ni mafupi haya, na kama kuna ambaye nimemkosea, naomba samahani anisamehe, mimi binadamu sijakamilika, nisamehe, huwezi kuomba msamaha mmoja mmoja kwa sababu inawezekana kuna mtu hujui kama umemkosea akaiweka moyoni, tusameheane”, amesema Ommy Dimpoz.

Hivi karibuni msanii huyo alipitia kipindi kigumu cha maradhi, na kitu ambacho amekiri kuwa kimempa fundisho kubwa juu ya maisha ya binadamu kuwa si kitu hapa duniani.

HABARI ZAIDI

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro