Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Saida Karoli awachana wenzake.

Tuesday , 12th Sep , 2017

Msanii wa muziki wa kike kutoka Tanzania Saida Karoli, ambaye sasa amerudi kwa kishindo baada ya kimya kirefu amewatolea uvivu wasanii wachanga wa kike wenye tabia za kujikweza na kujiona bora zaidi ya wenzao, na kusema tabia hiyo inakera kila mmoja.

Saida Karoli

Akizungumza na mwandishi wa East Africa Television, Saida Karori amesema tabia hiyo haifai kwani bado wana safari ndefu kwenye muziki, hivyo wasipokuwa makini watakosa hata watu wa kuwaokota pale ikitokea wakianguka.

"Kwa kweli hilo suala ni kero, na siyo tu kwangu, ni kero kwa ujumla, na siyo nzuri kwa sababu inasababisha mtu unashuka ghafla, mtu unapokuwa na upendo halafu hujisikii, wale uliokuwa ukiongea nao siku za nyuma ndiyo wanaku-suport kukubeba unapoanguka, hiyo ni tatizo kwao", amesema Saida Karoli.

Kwa muda mrefu Saida Karoli alikuwa nje ya 'game', lakini sasa amerudi huku akiwa ameachia kzi mpya mbili, na yuko mbioni kufanya collabo na msanii Eddy Kenzo wa Uganda.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma