Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Stereo is not my type" - Chemical

Friday , 17th Feb , 2017

Hatimaye kipindi cha eNewz cha EATV kimetegua kitendawili cha endapo rapa wawili wa Bongo Stereo na Chemical watakuwa wapenzi, baada ya Chemical kumvulia uvivu na kutamka 'LIVE' kuwa Stereo siyo wa aina yake, huku akieleza jinsi alivyomkera

Chemical na Stereo walipokutanishwa

Kupitia kipindi cha eNewz, Chemical amesema kuwa kwa uchunguzi alioufanya, amejiridhisha kuwa kila kitu alichokifanya Stereo ilikuwa ni 'drama' na kwamba hakutegemea kama Stereo angefikia hatua hiyo kwa kuwa alikuwa akimuheshimu kama kaka yake ambapo amesema jambo lililomkera zaidi ni njia aliyoitumia ya kwenye kwenye vyombo vya habari badala ya kumtafuta yeye mwenyewe.

Amesema ana uhakika Stereo hatafuti kiki kupitia yeye, lakini amemkaribisha kama anahitaji kufanya kolabo na yeye, yuko tayari kwa hilo. "Sidhani kama Stereo alikuwa anatafuta kiki kwangu, maana yeye ni msanii mkubwa, halafu alisema eti hafahamu pa kupata namba zangu, siyo kweli, alikuwa ana uwezo wa kuzipata sehemu yoyote" Amesema Chemical

Amesema baada ya mambo hayo yote, alimpigia simu na kumuuliza kama alikuwa 'serious' au lah, ambapo majibu aliyopata yalionesha kuwa stereo hakuwa 'serious', huku akiweka wazi pia kuwa jambo hilo limempa wakati mgumu kwenye familia yake na hata shuleni kuwa bado ni mwanafunzi.

Kwa upande wake Stereo amesema yeye alichokifanya ni kueleza ukweli wake kwa kuwa anamchukulia Chemical kama msichana mwingine, na siyo kama msanii.

Tazama majibizano yalivyokuwa katika kipindi cha eNewz.

 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ