Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Z Anto amuimbia Lissu

Sunday , 10th Sep , 2017

Msanii Z Anto amefunguka na kudai ameguswa na tukio lilimpata Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu la kupigwa risasi na watu wasiofahamika hivyo ameamua kuachia nyimbo kwa lengo la kuwakumbusha watanzania kudumisha amani pamoja na kumuombea Lissu

Z Anto amebainisha hayo wakati akifanya mahojiano maalum na mwandishi wa EATV baada ya kupita muda mchache alipoachia wimbo wake uliopewa jina la tumuombee Lissu. 

"Nimeguswa sana na hili suala la Mhe. Tundu Lissu na nikiwa kama mzalendo ninayeitakia mema nchi yangu nimeona ni bora nitoe nyimbo kwa ajili ya kuwakumbusha na kuwasisitiza watanzania wenzangu tuendelea kumuombea dua Mhe. Lissu", amesema Z Anto.

Pamoja na hayo, Z Anto ameendelea kwa kusema "ikiwa wabunge kwa pamoja waliweza kutoa nusu ya posho zao za kikao cha siku kimoja kuweza kumsaidia Lissu kwa ajili ya matibabu nami kwa upande wangu nikaona siyo vibaya kutoa nyimbo kama sehemu ya mchango kwake ili kwa pamoja watanzania tuungane kumuombea dua kwa sababu tukio lilimtokea siyo la kawaida.  Huu wimbo siyo wa kisiasa wala chama fulani ila ni wa kila mtanzania", amesisitizia Z Anto.

Kwa upande mwingine, Z Anto amewataka wasanii wenzake  wawe na moyo wa uzalendo kwanza ili kuweza kudumisha na kutangaza amani ya nchi.

Kama hujapata bahati ya kusikiliza wimbo huo bonyeza hapa chini kusikia alichokiimba Z Anto kuhusu Mhe. Tundu Lissu

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala