Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Roma amfungua kinywa Fid Q

Tuesday , 15th Aug , 2017

Rapa Fareed Kubanda 'Fid Q' amefunguka kuhusiana na wimbo mpya wa Roma Mkatoliki 'Zimbabwe' na kudai kuwa msanii huyo amejua kukamata hisia za mashabiki kwa kuimba ukweli uliyomtokea miezi michache iliyopita huku akimsifu ndivyo hip hop unavyotaka.

Akijibu swali la mtangazaji wa kipindi  cha Planet Bongo ya East Africa radio, Fid Q amesema kuwa Zimbabwe ni wimbo uliyokuja kufanya mapinduzi makubwa kwenye 'industry' ya hip hop kwa mwaka 2017 pia kuutaja kuwa huwenda ukawa ndiyo wimbo mkubwa kwa mwaka huu.

"Roma kajua kuteka hisia za mashabiki zake, Zimbabwe ni wimbo mkubwa sana kuwahi kutokea mwaka huu ukizingatia. Umevunja rekodi ndani ya siku moja kwenye Youtube. Alichokifanya Roma ndicho hip hop inachotaka, hakuna mtu ambaye alikuwa hajui kama Roma katekwa na watu walikuwa wakimsubiri kuona anarudi vipi kwa hiyo nampongeza kwa kuwa amezingatia kiu ya mashabiki zake", alisema Fid Q.

Kwa upande mwingine, Fid Q amewataka wasanii kufanya kazi zilizokuwa na ubora na zitazoishi muda mrefu na siyo kukimbilia kolabo za kimataifa ambazo hazitawasaidia kufika mbali kama jinsi wanavyotaka.

Kwa sasa Fid Q anatamba na ngoma mbili alizoziacha ambazo ni 'Ulimi mbili pamoja Fresh'

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi