Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Pengo la Kanumba kwenye sanaa halizibiki - Rammy

Monday , 24th Oct , 2016

Msanii wa filamu nchini Rammy Galis amesema pengo aliloacha msanii wa filamu nchini marehemu Steven Kanumba ni kubwa na halitazibika litabakia kuwa hivyo.

Rammy Galis (Kushoto) Steven Kanumba (Kulia)

 

Galis ameyasema hayo kwenye kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa kupitia ukurasa wa facebook wa EATV, ambapo alikuwa akijibu maswali mbalimbali ya mashabiki.

“Mchango wa Kanumba ni mkubwa sana na pengo lake litabakia kuwa hivyo na mimi nilifanikiwa kufanya naye kazi mwishoni mwishoni kabla ya mauti kumkumba alikuwa ni mtu wa aina yake” Amesema Galis

Aidha Galis amesema wasanii wa filamu nchini wanatakiwa kubadilika kulingana na matukio yanayofanyika katika jamii na kuepuka kufanya uigizaji wa zamani wa kuzunguka na magari na kukaa sebuleni kwenye makochi.

Pamoja na hayo Galis amesema mwezi Desemba mwaka huu anatarajia kuachia filamu aliyoigiza na waigizaji wa Nigeria na kuwataka wadau kukaa mkao wa kula kuburudika na kazi yake kwani imeandaliwa kwa viwango vya kimataifa.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari