Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simjui baba yangu - Rammy Galis

Thursday , 20th Oct , 2016

Msanii wa filamu nchini Rammy Galis amefunguka na kusema kuwa historia ya wazazi wake kidogo ni changamoto na kudai kuwa katika kipindi chote cha maisha yake hajawahi kumuona wala kuonana na baba yake mzazi.

Rammy Galis

 

Rammy Galis alisema hayo kupitia kipindi cha KIKAANGONI kinachuruka LIVE kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV kila siku ya Jumatano kuanzia saa nane mchana mpaka saa kumi jioni, Rammy Galis alidai kuwa yeye amelelewa na baba yake wa kambo ambaye pia amekwishafariki.

"Unajua historia ya wazazi wangu kidogo ni changamoto mama yangu yeye ni Msomali na baba yangu alikuwa ni mtu wa Brazil, baba alikuwa baharia hivyo sijawahi kumuona wala sijawahi kuonana naye, kwa hiyo mimi nimelelea na baba yangu wa kambo ambaye naye baadaye alikuja kufariki" alisema Rammy Galis 

Mbali na hilo Rammy Galis anadai kwa sasa ameamua kuweka cheti chake cha 'Degree' ya kwanza pembeni na kufanya kazi za jamii, ikiwemo sanaa ya uigizaji, kufanya biashara za magari pamoja na kufanya kilimo cha bustani. 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja