Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbunge akiri kuvuta bangi Bungeni

Thursday , 24th Jan , 2019

Gavana wa Jimbo la Nairobi nchini Kenya, Mike Sonko amekiri vitendo vya kuvuta bangi ndani ya Bunge akiwa na mbunge mwenzake, wakati akitumikia Ubunge jimbo la Makadara.

Mike Sonko

Mike Sonko amefunguka hayo kwenye mahojiano na moja ya vyombo vya habari vya Kenya, na kusema kwamba  wamekuwa wakifanya hivyo kwa muda mrefu na muda mwengine hata kutumia bangi moja kwa kupokezana.

Sonko ameendelea kusimulia kuwa walikuwa wakitoroka wakati vikao vikiendelea na kwenda chooni, kisha kuvuta bangi kwa siri na kisha kurudi ndani kuendelea na vikao vya Bunge.

“Tulipokuwa Wabunge mimi na (akimtaja mwenzake), tulikuwa tukivuta bangi chooni, yeye alikuwa akizificha kwenye soksi, mimi sasa hivi nimeacha, lakini yeye bado anavuta”, amesema Gavana huyo wa jimbo la Nairobi.

Alipoulizwa kama anao ushahidi wa hayo Sonko alikiri kuwa ana ushahidi kwani walikuwa wakivuta wote, na kuwa sio jambo geni kwake.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala