Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wachina watoa msaada wa bia

Sunday , 7th Apr , 2019

Kampuni ya uchimbaji madini ya Ghuanshan International inayomilikiwa na Wachina nchini Kenya, imezua mtafaruku baada ya kupeleka msaada wa bia eneo la Tiaty, ambao wamekumbwa na balaa la njaa.

Kampuni hiyo ambayo iliamua kuunga mkono jitihada za kunusuru jamii zilizokumbwa na uhaba wa chakula kutokana na ukame, kwa kwenda kuwapa msaada wa vyakula mbali mbali zikiwemo na bia, jambo ambalo limeleta mtafaruku mkubwa nchini Kenya.

Wakati msaada huo ukitolewa katika eneo la shule ya Katikit iliyopo Tiaty, wazee na watoto walikuwa wakitazama, huku vijana wakigombania misaada hiyo.

Wachina wakitoa misaada

Mkurugenzi wa kampuni hiyo Khan Ke amesema kwamba waliamua kuweka na bia kwenye vyakula walivyowapelekea, baada ya kugundua kuwa wakazi hao pia wanapenda bia.

Hata hivyo wataalamu wa afya waliingilia kati wakisema kuwa jambo hilo sio sahihi, akiwemo Mkurugenzi wa Afya nchini humo Dkt. Kepha Ombacho, ambaye amesema si sawa kiafya kupeka bia kwatu ambao wana njaa, kwani tumbo lisilo na kitu likikutana na pombe hufanya kazi kwa haraka sana na mwishowe huleta madhara.

Hata hivyo wakazi wa maeneo hayo wameonekana kufurahia misaada hiyo ikiwemo pombe, kwani walionekana wakigombania na wengine kukimbia nazo kwenda kuhifadhi nyumbani.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala