Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanaume waaswa kuacha kunyonya maziwa ya wake zao

Tuesday , 16th Jul , 2019

Kumekuwepo na desturi ya baadhi ya wanaume kunyonya maziwa ya wake zao wanapokuwa wamejifungua, kitendo kinachoelezwa kuwa ni ukatili wa kijinsia wanachofanyiwa mama na mtoto.

Unyonyeshaji

Juma la kwanza la mwezi Agosti kila mwaka, huwa ni wiki ya siku ya unyonyeshaji wa maziwa ya mama duniani, katika kuelekea wiki hiyo wanaume wameaswa kuachana na tabia hiyo kwakuwa inawanyima fursa watoto wadogo.

Hayo yameelezwa na Afisa Lishe wa Mkoa wa Iringa, Neema Mtekwa alipokuwa akizungumza katika warsha na waandishi wa habari, amesema wanaume wenye tabia za kunyonya maziwa ya wake zao wakati wakiwa wananyonyesha hawawatendei haki watoto kwani wao hutegemea maziwa ya mama pekee kwa kipindi chote cha miezi sita ya mwanzo.

Maziwa ya mama ni kwa ajili ya mtoto, ila kuna tabia ambayo inasemwa na bado haijafanyika utafiti wa kina, kwamba wapo baadhi ya wanaume wanapenda kunyonya maziwa ya wake zao wakijifungua, maziwa ambayo ni maalumu kwa ajili ya mtoto. Huu ni ukatili mkubwa dhidi ya mtoto”, amesema Neema.

Wiki ya unyonyeshaji duniani imewekwa kwa lengo la kusisitiza umuhimu wa maziwa ya mama kwa mtoto mchanga na mdogo.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi