Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

 Magufuli aibuka na askari wachelewesha abiria

Monday , 10th Dec , 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amesema hafurahishwi na vitendo vya baadhi ya askari kukamata magari ya abiria na mizigo kisha kuyachelewesha kwa muda mrefu.

Rais Magufuli kushoto, pamoja na picha ya askari wa usalama barabarani wakiwa wamesimamisha basi la abiria.

Rais Magufuli ameyasema hayo leo jijini Dar es salaam, kwenye Kikao cha kazi kati yake na Viongozi wa TRA pamoja na wakuu wa mikoa nchini, ambapo amekemea baadhi ya vitendo vinavyoharibu biashara za watu na kukwamisha ulipaji kodi.

''Askari anaweza kujisikia tu kusimamisha gari hata kwa zaidi ya saa 6 kisha akaliachia bila kujali kuwa hao ni wafanyabiashara na wanajisikia vibaya, kuharibiwa biashara zao wakapata hasara na mwisho wa siku wasilipe kodi. Mara nyingi hili linafanywa na jeshi la polisi'', amesema Rais.

Aidha Rais Magufuli ametoa agizo kwa mamlaka mbalimbali zinazohusika na kodi kuhakikisha zinaondoa vikwazo kwa walipa kodi pamoja na wawekezaji kutoka nje ya nchi.

''Pia nawataka TPA, TRA, Jeshi la polisi, Idara ya uhamiaji mjirekebishe kuna vitendo vingi vya kukwamisha wawekezaji na walipa kodi naomba mlifanyie kazi hilo nafahamu mengi kwahiyo mbadilike'', ameongeza.
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi