Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

“Tulimheshimu Waziri Mkuu”-Manara

Tuesday , 14th Aug , 2018

Afisa habari wa klabu ya Simba, Haji Manara amesema waliamua kutowafunga Namungo FC ili kuweka heshima kutokana mwaliko wa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa baada ya kwenda nayo suluhu ya 0-0.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimiana na wachezaji wa Simba.

Simba walikuwa na mchezo wa kirafiki siku mbili zilizopita dhidi ya timu hiyo inayoshiriki Ligi Daraja la kwanza kwa ajili ya uzinduzi wa Uwanja wa Majaliwa uliopo mjini Ruangwa, Majaliwa aliwaalika Simba ili wakacheze na Namungo kwa ajili ya uzinduzi hivyo Manara ameeleza ilibidi watumie busasara ili wasiweze kuleta aibu kwa Waziri.

"Tuliamua kutowafunga Namungo kwa ajili ya heshima ya Waziri, hauwezi kumwaibisha mtu mkubwa kama yule mwenye heshima zake" amesema.

Katika hatua nyingine klabu hiyo imewasili jana jioni jijini Arusha baada ya kuitikia wito wa Mkuu wa Mkoa huo, Mrisho Gambo ambaye amewaalika Simba kwa ajili ya kucheza na Arusha United ambayo ilikuwa inajuliakana kama JKT Oljoro iliyopo Ligi Daraja la Kwanza.

Kikosi cha Simba kitautumia mchezo huo kama maandalizi kuelekea mechi dhidi ya Ngao ya Hisani dhidi ya Mtibwa Sugar itakayopigwa Agosti 18 kwenye Uwanja wa CCm Kirumba, Mwanza.

 

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari