Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alikiba awatishia Mbeya City

Thursday , 6th Dec , 2018

Mchezaji wa klabu ya Coastal Union ambaye ni msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Alikiba amezungumzia juu ya ukamilifu wake kwa sasa na klabu kwa ujumla kuelekea mchezo dhidi ya Mbeya City wikiendi hii.

Alikiba

Alikiba ambaye hajacheza mchezo wowote wa ligi kuu Tanzania bara mpaka sasa kwenye klabu yake, amekiri kuwa sasa yuko fiti kurudi dimbani kwenye mchezo huo ambao Coastal Union itashuka dimbani dhidi ya Mbeya City.

Akizungumza katika mazoezi kuelekea mchezo huo, Alikiba amesema, "Mpaka sasa hivi niko tayari, niko mazoezini takribani wiki nzima sasa, wachezaji tumeshazoeana na tumeshajua mfumo gani tunacheza. Na haitokuwa ngumu sana kwa mchezaji kama mimi ambaye nina uzoefu na mambo ya mpira kwa muda mrefu, kwahiyo niko tayari,".

Naye kocha wa klabu ya Coastal Union, Juma Mgunda amesema kuwa kikosi chake kiko imara wakati wote na kukanusha vikali taarifa za kuingiliwa katika maamuzi ya upangaji wa kikosi na viongozi wa klabu hiyo.

"Mimi sikuja hapa kupigiwa kura, nimekuja kwasababu najua kufundisha mpira na nimesomea kufundisha, kwahiyo hatatokea na haiwezi kutokea nikapangiwa kikosi. Huyu Alikiba munayemuona, anafanya vizuri sasa katika mazoezi na mwisho wa yote atapata nafasi atacheza," amesema Juma Mgunda.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala