Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Azam yapewa ubingwa Kombe la Mapinduzi 2017

Monday , 9th Jan , 2017

Wakati michuano ya Kombe la Mapinduzi ikiingia katika hatua ya nusu fainali huku bingwa mtetezi timu ya URA ya Uganda wakifungashwa virago, tayari timu ya Azam imetabiriwa kuchukua ubingwa wa michuano hiyo kwa mwaka huu.

Kikosi cha Azam FC

Mtu wa kwanza kufanya hivyo ni nahodha wa URA, Jimmy Kulaba, ambaye amesema kuwa baada ya wao kutupwa nje, timu pekee yenye uwezo wa kunyakua kombe hilo mwaka huu ni Azam FC ya Dar es Salaam.

Jimmy alitoa utabiri wake jana usiku mara baada ya kumalizika kwa mchezo wao dhidi ya Taifa Jang'ombe ambao ulimalizika kwa URA kufungwa bao 1-0, na kuvuliwa rasmi ubingwa wa micuano hiyo.

Jimmy amesema kwa jinsi alivyokiona kikosi cha Azam kilichoshinda mabao 4-0 dhidi ya Yanga, anaona hakitakuwa na mpinzani katika timu zote nne zilizotinga nusu fainali.

Jimmy Kulaba

"Azam wa kikosi kizuri, wachezaji wake ni wazoefu, wanajitambua na wako serious na kazi, natamani kuona Azam wanakuwa mabingwa wa Mapinduzi"

Azam wanakutana na Taifa Jang'ombe katika moto wa nusu fainali ya kwanza utakaopigwa kesho Jumanne saa 10 jioni, wakati mchezo wa pili wa nusu fainali utazikutanisha Simba na Yanga saa 2 usiku.

Je, utabiri huu utatimia, tusubiri

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma