Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Changamoto za Ajibu ndani ya TP Mazembe

Thursday , 23rd May , 2019

Klabu ya soka ya TP Mazembe ya DR Congo, iko mbioni kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Ajibu ambaye mkataba wake unamalizika mwisho wa msimu huu.

Ibrahim Ajibu

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TP Mazembe hivi karibuni, imeonesha kuwa timu hiyo inavutiwa na huduma ya Ajibu ambaye pia amewahi kuchezea Simba.

Endapo Ajibu ataungana na klabu hiyo iliyopo chini ya kocha Pamphile Mihayo Kazembe, anaweza kutumika katika maeneo mawili kama mshambuliaji au kiungo mshambuliaji anayecheza nyuma ya washambuliaji.

Endapo atatumika kama mshambuliaji atakutana na changamoto ya washambuliaji wawili wanaoaminiwa kwasasa na kocha Mihayo ambao ni Tresor Mputu na Jackson Muleka.

Kama kocha Mihayo ataamua kumtumia Ajibu kwenye eneo la kiungo mshambuliaji, basi mkali huyo wa pasi za mwisho atakabiliana na changamoto ya viungo kama Elia Meschak, Rainford Kalaba na Abdoulaye Sissoko ambao ndio huwazunguka washambuliaji Tresor Mputu na Jackson Muleka.

TP Mazembe tangu mwaka 2010 imeshafanikiwa kuchukua wachezaji watatu kutoka Ligi kuu soka Tanzania bara ambao ni Thomas Ulimwengu, Mbwana Samatta na Patrick Ochieng. 
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma