Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Goti lamponza Nadal

Tuesday , 14th Nov , 2017

Mchezaji tenisi namba moja duniani Rafael Nadal amemaliza vibaya msimu baada ya kutupwa nje ya fainali za dunia za ATP zinazoendelea jijini London Uingereza.

Mhispania huyo ameondolewa kwa kipigo cha seti 7-6 (7-5) 6-7 (4-7) 6-4 kutoka kwa David Goffin. Katika mchezo huo uliofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye uwanja wa 02 jijini London, Nadal alilazimika kucheza huku akiwa na maumivu ya goti.

Nadal aliumia goti kwenye mchezo wa robo fainali ya michuano ya Paris Masters wiki iliyopita hivyo akalazimika kujitoa ili aweze kutibiwa haraka akipigania kurejea mapema kucheza fainali za kufunga msimu huu za ATP jijini London.

Hata hivyo imekuwa ngumu kwa nyota huyo kuendelea na mashindano kutokana na kipigo hicho cha mechi yake ya ufunguzi kutoka kwa David Goffin ambaye ni raia wa Ubelgiji. Nadal amesisitiza kuwa hata kama angeshinda ilikuwa lazima ajitoe kutokana na kushindwa kuhimili maumivu ya goti.

Kuondolewa kwa Nadal kunatoa fursa kwa mkongwe Roger Federer kuisaka nafasi ya kuwa bingwa wa fainali hizo. Pamoja na kutolewa kwake lakini Nadal tayari ameshajihakikishia kumaliza msimu huu akiwa mchezaji namba moja duniani hata kama mpinzani wake mkubwa Roger Federer atatwaa ubingwa wa ATP.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma