Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hasira zetu zimetuponza- Kocha Evans

Monday , 21st Aug , 2017

Kocha wa timu ya TMT, Evans Davies Mwaseba amefunguka na kudai sababu iliyopelekea mpaka timu yake kufungwa katika 'game 3' kwa pointi 87-82 ni kutokana na wachezaji wake kuhamaki baada ya kuchezewa faulu sana na wapinzani wao.

Kocha wa timu ya TMT, Evans Davies Mwaseba.

Mwaseba ameeleza hayo baada ya timu yake kuonekana kuzidiwa katika robo ya nne ya mchezo wa fainali uliyochezwa katika viunga vya Don Bosco Oysterbay Jijini Dar es Salaam na kusababisha kuwaruhusu wapinzani wao waendelea kupachika mpira katika goli lao.

"Kilichosababisha tufungwe katika 'game 3' na Mchenga BBall Stars ni kutokana sisi kuhamaki kuanzia kwenye benchi la wachezaji mpaka wale waliyokuwa ndani wakicheza baada ya kuona wakichezewa faulo nyingi, lakini tunaenda kujipanga vizuri kuelekea mechi ijayo ya game 4 ili tuweze kufanya mashabulizi vizuri na tuweze kuziba mapungufu yaliyoweza kujitokeza katika mechi iliyopita", alisema Mwaseba.

Pamoja na hayo, TMT mpaka sasa imeweza kushinda mechi 1 na kufungwa 2 katika fainali hizi zinazoendelea huku mpinzani wake Mchenga BBall Stars akiwa ameshinda mechi 2 na kupoteza mechi 1.

Mshindi wa kwanza katika fainali za Sprite BBall Kings anatarajiwa kuondoka na kitita cha Milioni 10 huku mshindi wa pili kuondoka na Milioni 3 na kumaliziwa na mchezaji bora 'MVP' kupata Milioni 2.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ