Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hazard 'amzodoa' Mourinho

Tuesday , 19th Sep , 2017

Nyota wa Chelsea Eden Hazard amesema alijiona wa tofauti ndani ya wiki moja tu aliyofanya mazoezi chini ya kocha wake wa sasa Antonio Conte tofauti na hapo awali alipokuwa akifundishwa na  walimu wengine, kauli iliyotafsiriwa ni dongo kwa kocha wake

aliyepita bwana Mourinho ambaye hawakuwa na mahusiano mazuri sana na Hazard.

Hazard ameyasema hayo baada ya kuulizwa swali kuhusu urejeo wake msimu huu baada ya kuwa majeruhi akikosa mechi zote za Chelsea msimu huu.

"Najisikia vizuri kurejea na nina amini chini ya kocha wangu Conte nitakuwa bora tu kama ilivyokuwa wakati anaanza kuifundisha Chelsea, chini ya wiki moja tu nilijiona watofauti sana ukilinganisha na walimu waliopita hapa", amesema Hazard.

Hazard hakuwa na msimu mzuri wa 2015/16 chini ya Mourinho baada ya kushindwa kuanzishwa katika michezo kadhaa ambapo timu yake ilimaliza nafasi ya 10 katika msimamo wa ligi na kupelekea kocha Mourinho kuondolewa na nafasi yake kuchukuliwa na Conte ambaye aliiwezesha klabu hiyo kutwaa ubingwa wa EPL katika msimu wake wa kwanza 2016/17.

Hazard ameongeza kuwa Conte ni kocha bora amemfahamu tangu akiwa na Juventus na sasa yupo naye Chelsea na anaamini bado ana muda mrefu wa kuwa klabuni hapo.

Nyota huyo wa Ubelgji amejumuishwa kwenye kikosi cha Chelsea kitakachoshuka dimbani leo kucheza na Nottingham Forest kwenye kombe la ligi maarufu EFL Cup.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa