Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Joshua na Wilder mbioni kuzichapa kuwania rekodi

Wednesday , 13th Jun , 2018

Uongozi wa bingwa wa ngumi duniani uzani wa juu anayeshikilia mkanda wa WBC, Mmarekani Deontay Wilder, hatimaye amekubali kukaa meza moja na uongozi wa bingwa wa dunia anayeshikilia mikanda ya WBA, IBF na WBO Muingereza Antony Joshua tayari kwa kusaini pambano lao.

Wilder amethibitisha kukubali pambano hilo lipigwe nchini Uingereza na sio Marekani kama ambavyo alitaka awali kabla ya uongozi wa Joshua kukataa na kutaka lipigwe Uingereza. ''Ofa ya dola milioni 50 kwaajili ya mimi kupigana na Joshua nchini Marekani iko palepale lakini nimekubali ombi lao la kwenda kupigana nchini England nasubiri ofa yao'', aliandika Wilder kwenye Twitter.

Kwa upande wa meneja wa Joshua, Eddie Hearn, amesema atawatumia mkataba uongozi wa Wilder ili aone kama kweli wapo tayari au wanaongea tu kwenye mitandao."Tumeshangaa kakubali kuja kwetu kupigana sasa tutaweka mezani kila kitu kama watakubali masharti pambano litakuwepo'', alisema Eddie.

Kwenye pambano hilo Joshua mwenye miaka 28 ataweka mezani mikanda yake mitatu ya WBA, IBF na WBO huku Wilder mwenye miaka 32 ataweka mkanda wake wa WBC. Mshindi wa pambano hilo atakuwa bondia wa kwanza duniani kushikilia mikanda yote ya uzito wa juu.

Hata hivyo Joshua anaweza kupigana kwanza na Bondia kutoka Urusi Alexander Povetkin, ambaye anawania mkanda wa WBA na imeelezwa pande hizo mbili ziko mbioni kufikia makubaliano ya pambano hilo. Lakini pambano hilo linaweza kupisha la Joshua na Wilder endapo Povetkin atakubali kupigana na mshindi kati yao.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ