Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kauli mbiu ya Simba Klabu Bingwa Afrika 2019/2020

Tuesday , 16th Apr , 2019

Afisa Habari wa Simba, Haji Manara amewashukuru mashabiki wa klabu hiyo kwa hamasa yao katika kuhakikisha wanafanya vizuri katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika msimu huu.

Haji Manara na mashabiki wanaoishangilia Simba

Ameyasema hayo ikiwa ni siku chache baada ya kuondolewa na TP Mazembe katika michuano hiyo kwa jumla ya mabao 4-1, katika hatua ya robo fainali.

Manara amesema mashabiki na wanachama ndio walioisaidia kwa kiasi kikubwa Simba kufikia hatua hiyo, kwani waliisaidia Simba kushinda mechi tano za nyumbani.

"Mimi niseme 'very clear' nyuma ya mafanikio haya ni wanachama na mashabiki, bila ya wao kutusaidia tusingeweza kufika hapa. Wametupa nguvu ya dua na sapoti kwani tumeshinda mechi tano za nyumbani bila kupoteza", amesema Manara.

Aidha Manara amesema kuwa mipango yao msimu ujao ni kuvuka hatua ya robo fainali ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika kwakuwa anaamini Simba wataibuka mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.

Bonyeza hapa chini kutazama zaidi.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala