Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kauli tatu tata za Yanga kuhusu safari ya Zahera

Tuesday , 18th Dec , 2018

Baada ya hapo jana kocha wa Yanga Mwinyi Zahera kuondoka nchini kuelekea Ufaransa, maelezo ya safari yake yamegubikwa na utata mtupu baada ya viongozi pamoja na yeye mwenyewe Zahera kutofautiana katika maelezo yao.

Kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Yanga, Hussein Nyika na kocha Mwinyi Zahera

Kwa mujibu wa Mwinyi Zahera, yeye amesema ameenda kusaini nyaraka zinazohusiana na biashara zake hivyo atakaa hadi Desemba 25 na atarudi Dar es salaam Desemba 26 asubuhi.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Yanga, Hussein Nyika, yeye amesema Kocha Mwinyi Zahera amekwenda Ufaransa kwa ajili ya kushughulikia kesi ya mkewe ambayo hakufafanua inahusu nini.

Mapema jana Desemba 17, 2018 asubuhi, msemaji wa Yanga, Dismas Ten, alisema Kocha Zahera ameenda Ufaransa kwa ajili ya matibabu ambayo yanaratibiwa na chama cha soka nchini DR Congo.

Kabla ya safari yake kocha Mwinyi Zahera alieleza kuangushwa kwake na viongozi wa Yanga hususani kamati ya usajili baada ya kushindwa kukamilisha usajili wa baadhi ya wachezaji ambao alipendekeza waongezwe kikosini.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi