Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kocha wa Taifa Stars alizwa na uzushi

Saturday , 24th Mar , 2018

Kocha wa timu ya taifa ya soka ya Tanzania (Taifa Stars) Salum Mayanga, ameeleza kusikitishwa na taarifa zinazosambaa kuwa hajachagua mwenyewe kikosi cha timu hiyo kwaajili ya mechi za kirafiki bali amechaguliwa.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na shirikisho la soka Tanzania TFF imeeleza kuwa Mayanga hajafurahishwa na taarifa hizo za uzushi kwani yeye anafanya kazi kwa mujibu wa taratibu za kazi yake hivyo hawezi kuchaguliwa timu.

''Watu waache kupotosha umma, mimi ndio nimechagua kikosi chote kilichosafiri kwenda Algeria na si vinginevyo, kocha Ahmed Morocco nilimwachia jukumu la kutangaza kikosi tu baada ya uteuzi'', amesema Mayanga.

Taarifa hizo zilianza kusambaa usiku wa Machi 22 baada ya Taifa Stars kuchapwa mabao 4-1 na Algeria ugenini, kwenye mchezo wa kirafiki wa kalenda ya FIFA kwa mwezi Machi.

Taifa Stars inatarajia kumaliza mechi zake za kirafiki Jumanne ijayo Machi 27 itakapowakaribisha Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es salaam. Tayari viingilio vya mchezo huo vimewekwa wazi ambapo kiingilio cha chini ni shilingi 1,000.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ