Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lukaku sio wa mchezo!

Sunday , 13th Aug , 2017

Mchezaji wa mashetani wekundu kutoka Old Traford Manchester United, Romelo Lukaku leo ameonyesha kuwa yeye sio wa mchezo mchezo baada ya kuwanyoosha West Ham mapema sana kwa kuwatandika goli 2 mfululizo miongoni mwa magoli manne waliyofungwa na Man U

Mchezaji Romelo Lukaku akishangilia goli

Lukaku aliwapa heshima Man U dakika ya 33 alipowatundika West Ham goli la kwanza, na baada ya dakika 19 tu tangu awafunge goli hilo, aliwapa lingine bila kuwaangalia usoni ikiwa ni dakika ya 52.

Baada ya Mourinho kuusoma mchezo alimtoa Rashford dakika ya 79 ya mchezo na kumuingiza serengeti boy Anthony Martial uwanjani, na ndani ya dakika 8 alizozisakata kabumbu alifanikiwa kuiandikia Man U goli la 3 katika dakika ya 87.

Kama haikutosha mtu mweusi Paul Pogba aligoma kutoka uwanjani hapo bila kuandika historia, na kuwatundika goli la 4 West Ham katika dakika ya 90, iliyoipa ushindi wa kiume timu ya mashetani wekundu Manchester United.

Baada ya mchezo huo Romelo Lukaku alikaririwa akisema "unapoichezea Manchester United una kazi ya kufanya, na yangu ni kufunga magoli", alisema Lukaku.

Ushindi huo wa leo unaiweka timu ya Manchester United kwenye nafasi ya kwanza kwa kuwa na poinnt 3 na goli 4 mkononi, huku ikifuatiwa na Huddersfield yenye point 3 na goli 3 mkononi.

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala