Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Manara ampigia salute Cheche wa Azam

Sunday , 15th Jan , 2017

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba, Haji Manara amemkubali na kumnyooshea mikono kocha msaidizi wa Azam FC, Idd Cheche kwa kukibadilisha kikosi chake na kukifanya kiwe cha ushindani.

Haji Manara (Juu), Cheche (Chini)

Manara amesema Cheche ameonesha uwezo mkubwa kwani kabla hajakabidhiwa timu hiyo, kikosi cha Azam kilikuwa dhaifu kiasi cha kutopewa hata nafasi kwenye michuano ya Mapinduzi iliyomalizika juzi na kushuhudia ikiondoka na ubingwa.

Azam iliifunga Simba bao 1-0 katika mchezo wa fainali wa michuano hiyo huku ikionesha kandada safi na kumaliza michuano hiyo bila kufungwa bao hata moja

"Kwa kweli Azam imebadilika sana, nampongeza sana kocha Cheche, amefanya kazi kubwa ndani muda mfupi kikosi kimebadilika sana, inaonekana sasa wachezaji wanamuelewa kocha, na kazi aliyoifanya kwenye Mapinduzi siyo ndogo, timu imeweza kumaliza mechi tano bila kufungwa bao hata moja, siyo jambao dogo" Alisema Manara

Cheche alikabidhiwa mikoba ya kikosi hicho mara baada ya kufungashiwa virago kwa aliyekuwa kocha mkuu Zeben Hernandez na wasaidizi wake wote mara baada ya kumalizika kwa mzunguko wa kwanza wa ligi kuu.

Hivi sasa Cheche atafanya kazi kama kocha msaidizi mara baada ya Azam kupata kocha mkuu raia wa Romania.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi