Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Manara awataka wachezaji kuchukua tahadhari

Thursday , 16th May , 2019

Afisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara amewakumbusha wachezaji wa klabu hiyo siri ya mafanikio kuelekea katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Mtibwa Sugar hii leo.

Wachezaji wa Simba

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Manara amezungumzia umuhimu wa mchezo huo dhidi ya Mtibwa, akiufananisha na mchezo wa hatua ya 16 bora ya Klabu Bingwa Afrika dhidi ya AS Vita jijini Dar es salaam, ambapo amewakumbusha jinsi walivyohamasishana katika chumba cha kubadilishia nguo.

"Wachezaji wetu wapendwa, mnajua mapenzi waliyonayo Wanasimba kwenu, mnafahamu kiu yao!!, mnajua karaha wazipatazo mtaani msiposhinda mabingwa wetu wa nchi!!, najua sometimes mpira una matokeo ya kihayawani lakini nyie ni 'another level' mkidhamiria kwa jinsi nnavyowajua", amesema Manara.

"Nakumbuka mlipoambiana 'Dressing room' katika mchezo na As Vita, hebu katupeni pointi tatu leo!!, tunahitaji pointi tatu tu vijana wetu, Yes Mtibwa ni timu bora mno ila mkiamua kwa uwezo wa Mungu, nyie ni bora maradufu".

"Haya haya haya haya wanaume, Wanasimba leo watakuja kuwapa support ili tuanike makopa juani!, inshaallah kheri", ameongeza.

Simba iko katika nafasi ya pili kwa pointi 82, nyuma ya Yanga iliyo katika nafasi ya kwanza kwa pointi 83. Ratiba ya ligi kuu inatarajia kumalizika Mei 28 kwa timu zote kushuka dimbani katika viwanja tofauti tofauti.
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi