Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mazingira yalitutesa- Lwandamina

Monday , 11th Sep , 2017

Kocha Mkuu wa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Young Africans, George Lwandamina amefunguka na kudai walilazimika kubadili mbinu za mchezo kutokana na hali ya mazingira kuwa tofauti na wao walivyozoea.

Kocha Mkuu wa Yanga mwenye uraia wa Zambia, George Lwandamina.

Lwandamina ameeleza hayo asubuhi ya leo kupitia ukurasa wao maalum wa klabu baada ya timu yake kutoka kifua mbele siku ya jana (Jumapili) kwa kuwachakaza Njombe Mji FC kwa bao 1-0 lililofungwa na mshambuliaji Ibrahim Ajib kwa kutumia mkwaju wa adhabu.

"Tulijua utakuwa mchezo mgumu, kipindi cha pili tulilazimika kubadili mbinu ili kukabiliana na mazingira. Nawashukuru wachezaji hakika walifanya kazi kubwa dakika zote 90 za mchezo", amesema Lwandamina.

Kwa upande mwingine, timu ya Mtibwa Sugar kwa sasa ndiyo ambayo inaongoza ligi kwa mujibu wa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa pointi sita, akifuatiwa na Simba SC kwa pointi nne, Tanzania Prisons alama nne.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi