Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbao yakaziwa nyumbani

Friday , 13th Oct , 2017

Katika mwendelezo wa ligi kuu ya soka Tanzania Bara VPL, leo umepigwa mchezo mmoja wa raundi ya 6 kwenye uwanja wa CCM Kirumba kati ya wenyeji Mbao FC dhidi ya Mbeya City.

Mbao FC ikiwa nyumbani imelazimishwa sare ya mabao 2-2 kwenye mechi ambayo ilikuwa na upinzani wa hali ya juu.

Mbao FC ndio walianza kugusa nyavu za Mbeya City mapema dakika ya tatu kupitia kwa Yusuf Ndikumana kabla ya kuongeza bao la pili kupitia kwa Ndaki ambapo hadi timu hizo zinakwenda mapumziko Mbao FC ilikuwa mbele kwa mabao 2-0.

Kipindi cha pili Mbeya City walirejea uwanjani kwa kasi ambapo dakika ya 55 walifunga bao la kwanza kupitia kwa Eliud Ambokile. Bao hilo liliwarejesha mchezoni na kuongeza mashambulizi hadi walipofanikiwa kusawazisha bao la pili kupitia kwa Ramadhani dakika ya 64.

Mbeya City imefikisha alama 8 baada ya michezo 6 ikiwa katika nafasi ya 7. Mbao FC imefikisha alama 6 baada ya michezo 6 ikishika nafasi ya 9. Ligi hiyo itaendelea kesho kwa jumla ya michezo 6 kupigwa kwenye viwanja mbalimbali.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala