Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

MBEYA CITY KUKIPIGA NA VIPERZ YA UGANDA

Friday , 12th Sep , 2014

Timu ya soka ya Mbeya city jumamosi hii inatarajia kucheza mchezo wa kimataifa wa kujipima nguvu dhidi ya timu ya Vipers Fc zamani bunamwanya inayoshiriki ligi kuu ya soka nchini Uganda mchezo utakaopigwa kwenye Uwanja wa kumbukumbu ya sokoine Mbeya.

Afisa habari wa Mbeya City Dismas Ten amesema kuwa kikosi hicho kinataraji kutua jijini Mbeya ijumaa ya kesho kikiwa na msafara wa watu 25 viongozi 5 na wachezaji 20.

Ten ameongeza kuwa timu hiyo ianataraji kuwa kipimo kizuri kwa timu ya Mbeya City kwani mmoja ya timu amabazo zimeonyesha uwezo mkubwa katika ligi ya Uganda na kufanikiwa kushika nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi kuu ya nchi hiyo.

Huu utakuwa mchezo wa mwisho wa kujipama nguvu kwa Mbeya City kabla kuanza mbilinge la ligi kuu ya soka Tanzania bara inayotaraji kuanza kutimua vumbi September 20 kwenye viwanja mbalimbali.

Mbeya city ambayo ilikamata nafasi ya tatu msimu uliopita kwenye ligi kuu ya soka Tanzania bara inaendelea na mawindo yake chini ya kocha mkuu Juma Mwambusi na msaidizi wake Suleiman Jabir

Afisa habari wa Mbeya City Dismas Ten amewaomba wakazi wa Mbeya kujitokeza kwa wingi katika mchezo huo jumapili kuishuhudia timu yao pendwa ikionyesha kile ambacho imejipanga nacho kwa ajili ya ligi kuu ya soka Tanzania bara msimu wa mwaka 2014/2015.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala