Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Miaka 22 ya Wenger yafika tamati, asema haya

Friday , 20th Apr , 2018

"Baada ya kufanya mazungumzo na kuangalia maslahi ya klabu kwa uangalifu mkubwa na kufanya majadiliano na uongozi wa timu, nimeona ni wakati mzuri kwangu kuachia ngazi mwisho wa msimu huu''.

Huo ni ujumbe wa kocha wa Arsenal, mzee Arsene Wenger ambao ameutoa mapema leo ikiwa ni kuthibitisha kuwa ataachana na timu hiyo baada ya kuifundisha kwa miaka 22.

Wenger mwenye miaka 68 alianza kuifundisha Arsenal Oktoba 1, 1996 na amefanikiwa kuipa mafanikio mengi tofauti tofauti ikiwemo ile rekodi ya kutwaa ubingwa wa EPL bila kufungwa mwaka 2003. Mafanikio ya Wenger ndani ya Arsenal ni kutwaa ubingwa wa EPL mara tatu na Ubingwa wa FA mara saba.

Wenger ambaye mkataba wake unamalizika mwisho wa msimu huu anaweza kuondoka akiwa ametwaa ubingwa wa Europa League ambapo yupo nusu fainali na atacheza na Ateltico Madrid.

Wenger amewashukuru mashabiki wa Arsenal na kuwataka kuendeleza umoja wao na kuiunga mkono timu ili iweze kuendelea kufanya vizuri huku akiahidi mchango wake wa mawazo ataendelea kuutoa kwa klabu muda wote.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari