Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mshambuliaji anayewatesa Messi na Ronaldo.

Tuesday , 16th Oct , 2018

Huenda usilifahamu kabisa jina la mshambuliaji, Krzysztof Piatek ambaye hivi sasa anavitesa vilabu vingi barani Ulaya kutokana na uwezo wake wa kufumania nyavu katika klabu yake.

Krzystof Piatek

Mshambuliaji huyo raia wa Poland anachezea katika klabu ya Genoa inayoshiriki ligi kuu ya nchini Italia ‘Serie A’. Mpaka sasa ameshafunga mabao 13 katika mashindano yote ndani ya klabu yake msmu huu na kuwawashia taa ya kijani nyota wa dunia Cristiano Ronaldo na Lionel Messi.

Piatek (23) mpaka sasa anaongoza katika listi ya wafungaji bora wa ligi mbalimbali barani Ulaya hasa ligi kubwa tano za bara hilo, akiwa ameshafunga mabao 9 akifuatiwa na Kylian Mbappe wa PSG  pamoja na Cristian Stuani wa Girona.

Kutokana na uwezo anaouonesha mpaka sasa katika ligi kuu nchini Italia, timu kadhaa barani Ulaya tayari zimeshaonesha nia ya wazi ya kutaka kumsajili mchezaji huyo ikiwemo, Fc Barcelona, Borusia Dortmund, Bayern Munich na Chelsea.

Msimu uliopita nyota wa Barcelona Lionel Messi na wa Juventus, Cristiano Ronaldo walipewa upinzani mkali katika kuwania kiatu cha dhahabu cha ufungaji bora wa ligi za ulaya na Mohamed Salah wa Liverpool, mbio ambazo Lionel Messi alishinda kwa mabao yake 34.
 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ