Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Neymar atamani angekuwa na PSG

Monday , 16th Apr , 2018

Nyota wa klabu ya PSG na timu ya taifa ya Brazil Neymar Jr, ameipongeza klabu yake hiyo kwa kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya Ufaransa (Ligue 1) huku akiweka wazi kuwa alitamani sana kuwepo wakati wanatwaa ubingwa.

Neymar hayupo na timu yake tangu mwezi Februari kufuatia kuumia mguu na kulazimika kusafirishwa kwenda nchini kwao Brazil kwaajili ya matibabu ambayo yalitazamiwa kutumia miezi mitatu hadi minne.

Baada ya jana PSG kutwaa ubingwa huo Neymar aliwapongeza wachezaji wenzake kupitia mitandao yake ya kijamii ambapo aliandika ''Nilitamani sana kuwa pamoja na nyie, hongereni kwa ubingwa''.

PSG usiku wa jana waliibuka na ushindi mnono wa mabao 7-1 dhidi ya Mabingwa watetezi Monaco. Baada ya ushindi huo PSG wamefikisha alama 87 ambazo haziwezi kufikiwa na Monaco yenye alama 70 huku zikiwa zimebaki mechi 5 pekee.

Ubingwa huu ni wa 7 kwa PSG ikiwa imetwaa katika misimu ya 1985–86, 1993–94, 2012–13, 2013–14, 2014–15, 2015–16 na 2017–18.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala