Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Red Bull wamtabiria Ricciardo

Saturday , 23rd Jun , 2018

Mkurugenzi wa timu ya magari ya Red Bull Christian Horner, ameeleza kuwa pamoja na kuwa mkataba wa dereva kinara wa timu hiyo Daniel Ricciardo, kuelekea mwisho lakini hawategemei kumuona akiondoka licha ya kuhitajiwa na timu zingine.

Dereva Daniel Ricciardo wa timu ya Red Bull

Bosi huyo wa Red Bull ameyasema hayo kufuatia mashabiki wengi wa timu hiyo, kuhoji kuhusu uongozi kushindwa kutoa tamko wakati mkataba wa mkali huyo wa magari unamalizika mwishoni mwa mwaka huu.

''Ricciardo amekuwa dereva mzuri na amefanikiwa akiwa na sisi hivyo tunatarajia kumuona akiwa na sisi kwa muda mrefu zaidi lakini hatuwezi kukataa kuwa kuna ofa nyingi amepokea kutoka McLaren na Renault na zaidi sasa kuna ofa mpya kutoka Mercedes na Ferrari, uamzi ni wake lakini tutashangaa akiondoka'', amesema Horner.

Katika mbio za Formula 1 msimu huu, Ricciardo anashika nafasi ya 4 akiwa na alama 84 huku pia akiwa amefanikiwa kuongoza kwenye mbio za Monaco Grand Prix pamoja na Chinese Grand Prix.

Formula 1 inaendelea kesho ambapo zitafanyika nchini Ufaransa zikifahamika kama 'French Grand Prix'. Baadae leo zitafanyika mbio za kuwania nafasi ya kupanga gari kesho wakati wa mbio hizo.
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi