Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba kuwaacha baadhi ya wachezaji

Monday , 18th Feb , 2019

Kuelekea mchezo wa kesho ligi kuu soka Tanzania bara, Klabu ya soka ya Simba kupitia kwa kocha wake Patrick Aussems, amesema atawaacha nje ya kikosi baadhi ya wachezaji waliocheza dhidi ya Yanga.

Kikosi cha Simba

Akiongea jijini Arusha ambako utafanyika mchezo huo, Aussems ameeleza sababu ya kutowachezesha wachezaji hao ni kuwapa muda wa kupumzika kwaajili ya mchezo ujao dhidi ya Azam FC.

''Nina amini kesho tuitapata matokeo mazuri na mashabiki watafurahia, lakini nitafanya mabadiliko kwa kuwapumzisha baadhi ya wachezaji ambao walicheza mchezo uliopita ili wawe fiti zaidi kucheza mchezo ujao dhidi ya Azam'', amesema Aussems.

Kocha mkuu Patrick Aussems (kulia) na msaidizi wake Denis Kitambi

Simba inakabiliwa na ratiba ngumu ya kucheza mechi 4 ndani ya siku 12 na hiyo ni katika kupunguza viporo vyake kwenye ligi ili iweze kwenda sawa na vilabu vingine ambavyo vipo katika raundi ya 27 huku Simba wakiwa raundi ya 16.

African Lyon inashika nafasi ya mwisho kwenye ligi ikiwa na pointi 21 tu katika mechi 26 wakati Simba ipo nafasi ya 3 ikiwa na pointi 39 kwenye mechi 16.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari