Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba wajutia, Yanga kuwakosa nyota watatu

Monday , 13th May , 2019

Kocha wa Simba Patrick Aussems, ameitupia lawama klabu ya Azam FC kuwa ilitumia muda mwingi kujiangusha kwa kuwa walikuwa wanatafuta sare huku akiweka wazi kuwa wamepata sare ambayo hawakustahili.

Emmanuel Okwi wa Simba na Aggrey Moris wa Azam FC

Aussems ameeleza kuwa wamecheza vizuri na kutawala mchezo hivyo walistahili ushindi lakini haijawa hivyo kutokana na Azam kujilinda zaidi.

"Walikuja kutafuta alama moja hivyo walikuwa wanapoteza muda, tulifanya mashambulizi mengi lakini hatukufanikiwa kufunga, tumepata alama moja lakini ambayo hatukustahili kwa namna tulivyotawala mchezo."- Aussems.

Baada ya mchezo wa leo wa Simba na Azam FC kumalizika kwa suluhu, kesho utapigwa mchezo mwingine wa ligi kuu kati ya Yanga dhidi ya JKT Tanzania.

Katika mchezo huo Yanga ambayo inashika nafasi ya pili ikiwa na pointi 80 kwenye mechi 35, itawakosa nyota wake Mohamed Banka, Gadiel Michael na Andrew Vicent ambao wote ni majeruhi.

Baada ya mechi ya leo Simba imeendelea kubaki kileleni ikiwa na pointi 82 kwenye mechi 33 wakati Azam FC wakibaki nafasi ya 3 na pointi 69 kwenye mechi 36.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala