Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Stars yabadili kikosi kuivaa Burundi

Tuesday , 28th Mar , 2017

Kikosi cha kwanza cha Taifa Stars kitakachoivaa Burundi katika mchezo wa kirafiki hii leo kimewekwa hadharani, huku kikionesha mabadiliko kadhaa katika baadhi ya idara ikilinganishwa na kile kilichoanza kuivaa Botswana siku ya Jumamosi.

Wachezaji wa Taifa Stars katika mazoezi

Katika kikosi cha leo, langoni anasimama Deogratius Munishi 'Dida' badala ya Aish Manula aliyeanza katika kikosi kilichopita huku katika nafasi ya ulinzi akiingia beki wa kati Salum Mbonde badala ya Erasto Nyoni ambaye alipigiwa kelele na mshabiki wa soka nchini kwa madai ya kutokuwa fiti.

Katika safu ya kiungo wa kati leo wataanza Himid Mao na Mzamiru Yasin ambapo Mzamiru anachukua nafasi ya Frank Domayo aliyenza katika kikosi kilichopita.

Viongo wa pembeni ni Farid Musa na Saimon Msuva, ambapo Farid amempumzisha Shiza Kichuya ambaye alionekana kutokuwa fiti katika mchezo uliopita.

Mwingine ambaye katika mchezo wa leo anaanza katika kikosi cha kwanza ni Salum Aboubakary, ambaye atakuwa msaidizi wa mshambuliaji pekee Ibrahim Ajibu. Salum anachukua nafasi ya Ajibu huku Ajibu akichukua nafasi ya nahodha Mbwana Samatta katika kikosi kilichopita.

Kikosi kamili hiki hapa

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja