Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TMT walitucheleweshea ubingwa- Muddy

Tuesday , 5th Sep , 2017

Nahodha wa timu ya Mabingwa wa Sprite BBall Kings 2017, Mchenga BBall Stars, Mohammed Yusuph 'Muddy' amefunguka na kudai kuwa ushindi ulikuwa wao tokea awali ila wapinzani wao TMT waliwachelewesha kukabidhiwa kikombe chao katika fainali hizo.

Nahodha wa Mchenga BBall Stars, Mohammed Yusuph 'Muddy' (kushoto) akiwa na mchezaji bora Rwahabura Munyangi

Muddy ameeleza hayo wakati akizungumza katika kipindi cha Kipenga kutoka East Africa Radio na kusema wanafurahia kuwa mabingwa wa kwanza Tanzania katika mashindano ya Sprite BBall Kings.

"Tumefurahia sana kwa kuweza kuwa mabingwa wa Sprite BBall Kings 2017 lakini tokea awali mimi kama nahodha nilisema TMT, wanachelewesha tu ila wanatambua kuwa ushindi ni wetu. 'Game' ilikuwa nzuri, tunamshukuru pia Mwenyezi Mungu kwa sisi kuibuka washindi pamoja na mashabiki wa timu zote kwa sababu bila ya wao mwaka huu mashindano ya Sprite BBall Kings yasingefanikiwa lakini yameweza kufanikiwa kwa ajili yao walivyokuja kutu-support", amesema Muddy.

Pamoja na hayo, Muddy aliendelea kwa kusema "tunaomba mwakani mashindano haya yawepo tena, tutakuja kama mabingwa watetezi wa mashindano ya Sprite BBall Kings ili kuweza kutetea ubingwa wetu", amesisitiza Muddy.

Kwa upande mwingine, Muddy amewashukuru waandaji wa michuano hiyo ya Sprite BBall Kings ambao ni EATV LTD wakishirikiana na Sprite kwa kuweza kurudisha heshima ya mpira wa kikapu nchini Tanzania.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi