Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ushindi wa Simba ulivyogusa maisha ya Msuva

Thursday , 21st Mar , 2019

Winga wa klabu ya Difaâ Hassani El Jadidi ya Morocco na timu ya taifa ya Tanzania, Simon Msuva, amesema ushindi wa Simba unawapa hamasa zaidi ya kushinda mchezo wa Jumapili dhidi ya Uganda ili kuendelea kujitengenezea sifa katika klabu zao.

Simon Msuva (katikati)

Akiongea leo kwenye kambi ya timu ya taifa Jijini Dar es salaam, Msuva amesema wao kama wachezaji wanaocheza nje ya nchi wanapata heshima kubwa kutokana na Simba kufanya vizuri kwenye Ligi ya Mabingwa ambapo hivi sasa wapo kwenye hatua ya Robo fainali.

''Taifa Stars ikishinda sisi tutaheshimika huko nje ukizingatia Simba nao wapo kwenye hatua nzuri hivyo sisi tunakuwa hatuchukuliwi poa tena, kwahiyo mchezo wa Jumapili ni muhimu sana'', amesema Msuva.

Aidha Winga huyo aliyewahi kutamba akiwa na Yanga, amewaomba mashabiki kuja uwanjani na kuwashangilia akiamini kuwa kelele zao zitawapa jukumu la kushinda na watapambana kulitimiza.

Msuva yupo kwenye msimu wake wa pili ndani ya Difaâ Hassani El Jadidi na ameshajihakikishia nafasi ya kucheza katika timu hiyo inayoshika nafasi ya 11 kwenye msimamo wa ligi kuu ya Morocco.
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi