Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanafunzi wafa maji wakijifunza mkoani Geita

Wednesday , 5th Jun , 2019

Wanafunzi watatu wamefariki dunia kwa ajali ya maji baada ya baada ya Mtumbwi uliokuwa umebeba wanafunzi watano wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Makurugusi, Wilayani Chato Mkoani Geita  kupinduka eneo la Kibumba Mwaro wa Matofari.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Mponjoli Mwabulambo

Kwa mjibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Mponjoli Mwabulambo, amesema ,tukio hilo limetokea majira ya saa tano asubuhi wakati wanafunzi hao, Diana Fitina(16), Asa Gabriel(19), Mayencha Faustine(18), Masalu Hamis (22) Yohana Jamonda (19) walipofika eneo hilo kwa lengo la kufanya mafunzo kwa vitendo kuhusu Mazingira ya Ziwa Victoria.

Amesema, tukio hilo limetokea umbali wa mita 120 kutoka fukwe za Ziwa Victoria,baada ya kijana Samson Kano,aliyekuwa ndani ya mtumbwi huo  mali ya Daud Thomas,kujitosa majini kwa lengo la kuwaonyesha wenzake ujuzi wa kuogelea.

Amewataja waliokufa maji kuwa ni pamoja na Asa Gabriel, mkazi wa kijiji cha Muhororo, Manyencha Faustine na Masalu Khamis, huku Diana Fitina akilazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Chato kwa matibabu, baada ya kunywa maji mengi.

Aidha,tukio kama hili limewahi kutokea Mei 22, 2017 baada ya wanafunzi watatu kati ya 24 wa shule ya msingi Butwa Kata ya Izumacheli wilayani Geita, kufariki dunia baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kutoka shuleni kuingiwa na maji na wao kujirusha majini na kuzama, huku  21 wakiokolewa.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi