Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yaamua kuvunja uchaguzi

Wednesday , 13th Mar , 2019

Baraza la Wadhamini la Klabu ya Yanga chini ya Mwenyekiti wake George Mkuchika, limependekeza klabu hiyo isifanye uchaguzi mdogo wa kuziba nafasi zilizowazi kwa sasa badala yake wafanye uchaguzi mkuu ili kupata viongozi wapya.

Mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini la Klabu ya Yanga George Mkuchika.

Akiongea leo Machi 13, 2019 baada ya kikao cha kamati ya utendaji na Baraza la wadhamini Mkuchika amesema wameazimia kuwaomba wanachama kufanya uchaguzi wake mkuu mwaka huu 2019 badala ya mwaka 2020.

Mkuchika ameitaja sababu kubwa ya kufanya hivyo ni kupisha uchaguzi mkuu wa nchi unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka 2020.

''Maamuzi haya tunayepeleka kwa wanachama wote na wajumbe wa mkutano mkuu kwani sio busara kujaza mapengo mwaka huu kisha tena mwakani tufanye mkutano mkuu wa uchaguzi, tunaita mkutano wa wanachama wote ili wakikubali hili lifanyike kwa ridhaa yao isijekuonekana sisi tuwaburuza'', amesema.

Aidha amesisitiza kuwa jambo hili la kuwashirikisha wajumbe wa mkutano mkuu ili wapitishe pendekezo hilo linatakiwa kufanya haraka ikiwezekana ndani ya wiki tatu au nne.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma