Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yazungumzia usajili mpya wa kikosi chake

Tuesday , 16th Oct , 2018

Uongozi wa klabu ya soka ya Yanga umefunguka kuhusiana na usajili wa timu yake dirisha dogo la usajili ya mwezi Disemba kwaajili ya kuimarisha kikosi kabla ya mzunguko wa pili kuanza.

Yanga ikiwa mazoezini

Katika mahojiano na www.eatv.tv, Katibu mkuu wa Yanga, Omar Kaaya amesema kuwa wao kama uongozi wa klabu hawana mamlaka rasmi ya kuamua nani anayetakiwa kusajiliwa.

Siwezi kulizungumzia hilo, liko chini ya mwalimu, ukifika muda husika ataleta majina ya wachezaji wa kuongeza au kama ataona hakuna umuhimu huo, amesema.

 “Lakini sasa ni mapema sana kulizungumzia kwasababu inategemea na ripoti ya mwalimu  itakapofika, sasahi ni mapema mno ”, ameongeza Kaaya.

Pia Katibu mkuu huyo amesema wachezaji walio majeruhi ni Juma Mahadhi pekee, Andrew Vicent ‘Dante’ na Juma Abdul wako vizuri na wanaweza kurejea dimbani muda wowote.

Yanga inatarajia kucheza na Alliance Fc ya Mwanza wikiendi hii katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara, mchezo utakaopigwa katika  uwanja wa taifa. Azam Fc inaongoza ligi mpaka sasa kwa alama 18 baada ya kushuka dimbani michezo nane huku nafasi ya pili ikishikiliwa na Mtibwa Sugar kwa alama zake 17 na Yanga ikiwa katika nafasi ya tatu kwa alama 16.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala